Search

12 results for Rashid Kakwesi :

  1. Wafanyabiashara wagoma Tabora, DC kuwachongea watumishi TRA

    Watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Mkoa wa Tabora sasa kuondolewa mkoani humo kwa madai ya kulalamikiwa na wafanyabiashara wa Soko Kuu Tabora.

  2. Mazao yaingiza Sh1.7 trilioni 2022/23

    Kilo 1.8 bilioni za mazao mbalimbali yenye thamani ya Sh1.7 trilioni zimeuzwa hadi kufikia Machi, 2023 katika mwaka wa fedha 2022/23.

  3. Wanachama wa Ura wakopeshwa Sh458 bilioni

    Zaidi ya Sh458 bilioni zimekopeshwa kwa wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Jeshi la Polisi (Ura saccos) tangu kuanzishwa kwake mwaka 2006.

  4. Aliyekuwa Mkurugenzi Iguwasa kizimbani kwa uhujumu uchumi

    Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imempandisha kizimbani aliyekuwa Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Igunga (Iguwasa), Hussein Nyemba (34) akikabiliwa...

  5. DC atahadharisha utegemezi wa faini kama chanzo cha mapato

    Jumuiya ya Hifadhi ya Isawima iliyopo wilayani Kaliua imetakiwa kubuni vyanzo vyake vya mapato badala ya kutegemea faini zitokanazo na mifugo kuingia hifadhini humo kama chanzo chake kikuu.

  6. Shimo la choo laua watoto wawili Tabora

    Watoto wawili wa familia moja wamefariki dunia baada ya kutumbukia kwenye shimo la choo kinachojengwa.

  7. DED Igunga afariki ajalini Mbeya

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Fatuma Latu na watu wengine wawili amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari katika eneo la Inyala mkoani Mbeya.

  8. Waziri Mkuu awataka wafugaji kudhibiti mifugo

    Wafugaji nchini wamesisitizwa kufuga mifugo yao kulingana na maeneo waliyonayo.

  9. Watatu wafariki kwa kufukiwa na kifusi Sikonge

    Watu watatu wamefariki dunia baada ya kufukiwa na kifusi katika Kijiji cha Misheni wilayani Sikonge.

  10. Wahitimu chuo cha ushirika kuvutwa kwenye vyama vya ushirika

    Serikali ya Tanzania inaangalia uwezekano wa kuwatumia wahitimu wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi katika utendaji kwenye vyama vya ushirika.

    New Content Item (2)

Page 1 of 2

Next